![]() | ![]() | ![]() |
---|
KATIKA UWEPO WA BWANA
KARIBU
KANISA LA KISWAHILI
Washington DC
Ukiwa katika eneo la jiji la Washington DC na viunga vyake, karibu ujumuike nasi katika katika kumwabudu na kumwinua Mungu wetu kwa lugha ya Kiswahili. The Way Gospel Church ni familia yako, na mahali ambapo tunamwabudu Mungu aliye hai. Ukiwa The Way utasifu na kuabudu, utaomba na kuombewa na utapata neno la Mungu kwa lugha ya Kiswahili. Karibu tumwabudu Mungu katika utamaduni wa Kiafrika, na tuwafundishe watoto wetu kutunza lugha ya asili yao.
KUHUSU SISI
Huduma ya The Way Gospel Church imejengwa katika msingi wa Yesu Kristo, Maandiko Matakatifu kama yalivyoandikwa na kuvuviwa katika Biblia Takatifu, na uongozi wa Roho Mtakatifu.
HUDUMA
Huduma zetu zinalenga kumhubiri Kristo, na kugusa mahitaji ya jamii, hususani ya watu wanaoongea lugha ya Kiswahili.
NENO LA LEO
'Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu. '
2 Wakorintho 12:9
MAOMBI ya kila siku
IBADA YA JUMAPILI
J'tatu-Ijumaa: Maombi ya Pamoja
Asubuhi 5:00AM-6:00AM
Mchana 1:00PM-2:00PM
Jioni 9:00PM-10:00PM
Jumamos: Maombi ya Wanawake
Jioni 9:00PM-10:00PM
Namna ya Kushiriki
Piga namba: +1 857 347 0566
(utaunganishwa moja kwa moja)
Maombi: 1:30PM-2:00PM
Ibada ya Jumapili: 2:00PM-4:00PM
NJOO, TUMWABUDU MUNGU KWA UMOJA!
Namna ya kushiriki kwa njia ya mtandao
Piga namba: +1 857 347 0566
(utaunganishwa moja kwa moja)
MAOMBI MAALUM
Ijumaa: Maombezi
Jioni 10:00PM-11:00PM
kiwa unahitaji kuhudumiwa na watumishi wa Mungu, andika ujumbe wa WhatsApp kwenye namba ya Kanisa ifuatayo, na utaunganishwa na watumishi wa Mungu wakati wowote.
(The Way Gospel Church)
NJOO. TUFANYE MABADILIKO. PAMOJA.
Unaweza kubadilisha maisha ya mtu kwa kitu kidogo kama kikombe cha kahawa.